Ndoa nyingi zilivunjwa na mahakama. Ninawezaje kupata cheti cha talaka yangu?
- Wasilisha nakala ya cheti chako cha ndoa kwa msajili mkuu (RITA).
- Wasilisha nakala ya uvunjaji ya mahakama
- Lipa ada ya lazima ambayo kwa sasa ni Tsh. 20000/=TANBIHI:Talaka yako itatambuliwa na kusajiliwa iwapo muda uliowekwa kwa rufaa utakuwa umekwisha na hakukuwa na rufaa iliyokubaliwa na iwapo ilikubaliwa ilikwishasikilizwa na hakuna rufaa zaidi.
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿