USALAMA BARABARANI.
MTOTO wa chini ya miaka 5 hapaswi kukaa katika siti za mbele za gari, iwe peke yake au akiwa ameambatana na MTU mwingine. Ni kinyume cha kifungu cha 39D cha Sheria ya usalama Barabarani.
#sherianatehama
#usalamabarabarani
USALAMA BARABARANI.
MTOTO wa chini ya miaka 5 hapaswi kukaa katika siti za mbele za gari, iwe peke yake au akiwa ameambatana na MTU mwingine. Ni kinyume cha kifungu cha 39D cha Sheria ya usalama Barabarani.
#sherianatehama
#usalamabarabarani
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿