Ticker

6/recent/ticker-posts

🦠 Kusambaza ugonjwa hatari kwa maisha ya watu, kwa uzembe au makusudi ni kosa la jinai.



🦠 Kusambaza ugonjwa hatari kwa maisha ya watu, kwa uzembe au makusudi ni kosa la jinai.

📜 Kwa mujibu wa Kanuni ya Adhabu, Kifungu cha 179:

Mtu anayefanya kitendo ambacho anajua au anapaswa kujua kinaweza kusababisha kusambaa kwa ugonjwa hatari kwa maisha ya watu, anatenda kosa la jinai.

⚠️ Adhabu ni kifungo cha hadi miaka 5, au faini, au vyote kwa pamoja.

📚 Linda afya ya jamii kwa kufuata sheria na tahadhari zinazostahili.

#JunguLaSheria ⚖️ #ElimuYaSheria 📚 #KanuniYaAdhabu

Chapisha Maoni

0 Maoni