💼 Kila mtu ana wajibu wa kushiriki katika kazi halali na ya uzalishaji mali.
📜 Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 – Ibara ya 25:
• Kazi ni chanzo cha maendeleo na ustawi wa jamii
• Kila mtu ana wajibu wa kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na nidhamu
• Kila mtu anapaswa kuchangia maendeleo yake binafsi na ya Taifa kupitia kazi halali
⚠️ Katiba pia inapiga marufuku kazi ya shuruti isipokuwa katika mazingira yanayotambuliwa na sheria.
#JunguLaSheria ⚖️ #ElimuYaSheria 📚 #KatibaYaTanzania

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿