Ticker

6/recent/ticker-posts

⚖️ KUSAMBAZA UJUMBE WA UBAGUZI MTANDAONI — NI KOSA LA JINAI ⚖️



⚖️ KUSAMBAZA UJUMBE WA UBAGUZI MTANDAONI — NI KOSA LA JINAI ⚖️

Kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Kimtandao  [Sura ya 443 Toleo la 2023], Kifungu cha 17, ni kosa la jinai kupitia mfumo wa kompyuta:

❌ Kutengeneza au kuchapisha maudhui ya kibaguzi au chuki dhidi ya watu wa rangi, kabila au utaifa fulani.

❌ Kusambaza au kufanya maudhui hayo yapatikane mtandaoni.

❌ Kutuma au kurusha maudhui ya kibaguzi kwa njia ya mtandao.

📌 Adhabu:

Faini isiyopungua Shilingi Milioni 3, au

Kifungo kisichopungua mwaka 1, au vyote kwa pamoja.

📝 Mtandao si sehemu ya kusambaza chuki — sheria ipo.

Chapisha Maoni

0 Maoni