Ticker

6/recent/ticker-posts

⚖️ KUCHAPISHA TAARIFA ZA UONGO MTANDAONI — NI KOSA LA JINAI ⚖️



⚖️ KUCHAPISHA TAARIFA ZA UONGO MTANDAONI — NI KOSA LA JINAI ⚖️

Kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Kimtandao [Sura ya 443 Toleo la 2023], Kifungu cha 16, ni kosa la jinai kuchapisha au kusambaza taarifa mtandaoni ukijua kuwa:

❌ Ni za uongo

❌ Zinapotosha au kudanganya umma

❌ Zina lengo la kudhalilisha, kutishia, kudanganya au kuhamasisha uhalifu

📌 Adhabu:

Faini isiyopungua Shilingi Milioni 5, au

Kifungo kisichopungua miaka 3, au vyote kwa pamoja.

📝 Kabla ya kushare au kupost, hakikisha taarifa ni sahihi — mtandao una sheria.

Chapisha Maoni

0 Maoni