Ticker

6/recent/ticker-posts

Pornografia ya watoto mtandaoni ni kosa kubwa la jinai.



⚖️ PORNOGRAFIA YA WATOTO MTANDAONI — NI KOSA KUBWA LA JINAI ⚖️

Kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Kimtandao [Sura ya 443 Toleo la 2023], Kifungu cha 13, ni kosa la jinai:

❌ Kuchapisha au kusambaza maudhui ya kingono yanayohusisha watoto kupitia mfumo wa kompyuta.

❌ Kuwezesha au kurahisisha upatikanaji wa maudhui hayo mtandaoni.

📌 Adhabu yake ni kali sana:

Faini isiyopungua Shilingi Milioni 50, au

Mara tatu ya faida iliyopatikana, Au kifungo kisichopungua miaka 7, au vyote kwa pamoja.

⚠️ Mahakama pia inaweza kuamuru fidia kwa mtu aliyeathirika na kosa hilo.

Chapisha Maoni

0 Maoni