Kwa mujibu wa Sheria ya Magereza, Sura ya 58, Kifungu cha 10, Askari Magereza ana mamlaka ya Askari Polisi anapowasafirisha wafungwa, kuwakamata waliotoroka, kuzuia kutoroshwa kwa mfungwa, au kukabiliana na shambulio dhidi ya gereza.
Kwa mujibu wa Sheria ya Magereza, Sura ya 58, Kifungu cha 10, Askari Magereza ana mamlaka ya Askari Polisi anapowasafirisha wafungwa, kuwakamata waliotoroka, kuzuia kutoroshwa kwa mfungwa, au kukabiliana na shambulio dhidi ya gereza.
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿