Kwa mujibu wa Sheria ya kanuni ya adhabu, Sura ya 16, Kifungu cha 215, kupanga njama ya kumuua mtu yeyote, iwe mtu huyo yupo Tanzania Bara au sehemu nyingine yoyote, ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo jela miaka kumi na minne.
Kwa mujibu wa Sheria ya kanuni ya adhabu, Sura ya 16, Kifungu cha 215, kupanga njama ya kumuua mtu yeyote, iwe mtu huyo yupo Tanzania Bara au sehemu nyingine yoyote, ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo jela miaka kumi na minne.
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿