UNAJUA MAANA YA KIAPO AU AFFIDAVIT?
Kiapo ni nyaraka ya kimahakama ambayo hutumiwa kuweka tamko la kimaandishi au kiapo ambacho baadae huweza kutumika Kama ushahidi mahakamani.
Nyaraka hii huandaliwa kisheria, na huwa na maelezo au taarifa ambayo mwapaji huithibitisha kwa maandishi na kushuhudiwa na wakili au afisa wa viapo.
Jungu Attorneys at Jungu La Sheria Tanzania.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿