Ticker

6/recent/ticker-posts

Ndoa ya ndugu wa damu inakosa uhalali kisheria.


Je unajua kuwa kuoa au kuolewa na ndugu yako wa damu kunabatilisha ndoa?

SHERIA ya ndoa inawataka watu wanaofungu ndoa wasiwe watu wenye uhusiano wa damu, na endapo watu wa namna hiyo wakifunga ndoa basi ndoa hiyo ni batili na haiwezi kuwa halali kisheria.

Jungu Attorneys at Jungu La Sheria Tanzania.

Chapisha Maoni

0 Maoni