Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sura 20 kifungu namba 16, inamruhusu mtu yeyote kumkamata mwalifu na kumweka kizuizini wakati utaratibu wa kumpeleka polisi ukifanyika.
Angalizo, katika kutekeleza kifungu hiki, hairuhusiwi kutumia nguvu kupitiliza au kumwondolea hadhi ya utu mtuhumiwa.
Jungu Attorneys at Jungu La Sheria Tanzania.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿