Ticker

6/recent/ticker-posts

UPEKUZI KWA MWANAMKE KUFANYWA NA MWANAMKE. Na Johnson Yesaya. LL.B.




Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai SURA YA 20 KIFUNGU CHA 26 kinaelekeza kwamba;

Inapotokea kuna uhitaji wa kumkagua au kumpekua mwanamke ili kubaini vitu alivyonavyo mwilini mwake au katika mavazi yake, Basi upekuzi huo ufanywe na mwanamke mwenzie kwaajili ya kulinda heshma ya mwanamke anayepekuliwa 

Kifungu hicho kinasema "Wakati ambapo ni muhimu kwa mwanamke kupekuliwa, upekuzi lazima ufanyike na mwanamke mwingine kwa heshima zaidi."

#junguattorneys
#junguupdates
#sheria

Chapisha Maoni

0 Maoni