Kwa mujibu wa kifungu cha 78(1) cha KANUNI YA ADHABU SURA YA 16.
Wakati wa maandamano na baada ya kupita muda baada ya tamko la kutawanyika kutolewa, polisi au afisa yeyote anayehusika katika kutuliza ghasia anaweza kutumia nguvu ya kiwango chochote kwaajili ya kuzima ghasia hizo, anaweza kujeruhi hata KUUA na sheria inamkinga dhidi ya mashtaka ya Jinai au madai.
Imeandikwa na mwanasheria
Johnson Yesaya Mgelwa
Wa Jungu la sheria Tanzania
0758218269/0628729934.
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿