KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 KIFUNGU CHA 311.
KIFUNGU CHA 311 KINASEMA;
Mtu yeyote ambaye anapokea au anahifadhi chombo chochote, fedha, dhamana ya thamani au mali nyingine kama iwayo, huku akijua au akiwa na sababu ya kuamini kwamba mali hiyo imeibiwa, imenyang’anywa, imechukuliwa kimakosa au imepatikana kinyume cha sheria, imebadilishwa au imeuzwa isivyo halali kisheria atakuwa anatenda kosa na atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha miaka kumi.
Imeandikwa na mwanasheria
Johnson Yesaya Mgelwa (@yesayajm_)
Wa Jungu la sheria Tanzania
0758218269/0628729934
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿