Ticker

6/recent/ticker-posts

🚫 Kuomba omba au kumtuma mtoto kuomba omba katika maeneo ya umma ni kosa la jinai.



🚫 Kuomba omba au kumtuma mtoto kuomba omba katika maeneo ya umma ni kosa la jinai.

📜 Kwa mujibu wa Kanuni ya Adhabu – Kifungu cha 176(b), mtu ambaye:

• 💰 Anazurura au anasimama mahali pa umma kwa lengo la kuomba sadaka.

• 💰 Anajaribu kukusanya msaada au sadaka kutoka kwa watu barabarani

• 👶 Anamshawishi au kumtuma mtoto kuomba omba

⚠️ Kitendo hicho ni kosa la jinai chini ya sheria za Tanzania na adhabu yake ni faini isiyozidi laki moja au kifungo kisichozidi miezi mitatu jela au vyote kwa pamoja.


#JunguLaSheria ⚖️

#ElimuYaSheria 📚

#TanzaniaLaw 🇹🇿

#LegalAwareness

Chapisha Maoni

0 Maoni