Ticker

6/recent/ticker-posts

Je Unafahamu kwamba kutishia kuua mtu au kutishia kujeruhi kwa kupiga risasi mtu, au tishio la kuchoma au kuharibu mali za mtu ni kosa la jinai?

 


UNAFAHAMU?


Je Unafahamu kwamba kutishia kuua mtu au kutishia kujeruhi kwa kupiga risasi mtu, au tishio la kuchoma au kuharibu mali za mtu ni kosa la jinai?


Kifungu cha 89 kifungu kidogo cha 2(a) na (b) cha Kanuni ya Adhabu sura ya 16 iliyorekebishwa  mwaka 2019 vinaeleza kuwa, kutishia kuua mtu au kutishia kujeruhi kwa kupiga risasi mtu, au tishio la kuchoma au kuharibu mali za mtu ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha mwaka mmoja jela bila faini.


Kosa hilo hilo linapofanywa wakati wa usiku, Adhabu yake ni kifungo cha miaka miwili jela.


#elimikasheria

Jungu la sheria Tanzania

Chapisha Maoni

0 Maoni