Ticker

6/recent/ticker-posts

Vitisho vya Vurugu na Uharibifu wa Mali 🔫



Vitisho vya Vurugu na Uharibifu wa Mali 💣🔥🔫

Kwa mujibu wa Kifungu cha 89(2) cha Kanuni ya Adhabu, ni kosa la jinai kwa mtu yeyote ambaye kwa nia ya kumtisha au kumchokoza mtu mwingine:

🔹 Anatishia kumpiga, kumpiga risasi, kumuua mtu au kuharibu mali yake.

🔹 Anarusha risasi au kufanya kitendo kingine chochote cha kuvuruga amani kwa nia ya kumtia mtu hofu.

⚠️ Adhabu: Kifungo cha mwaka mmoja, na kama kosa litafanyika usiku, adhabu ni kifungo cha miaka miwili.

🛡️ Sheria inalenga kudhibiti vitisho na matendo ya fujo yanayovunja amani na kuhatarisha usalama wa watu na mali.

#VuruguNiKosa #SheriaZaAdhabu #AmaniKwanza #JunguLaSheria 🇹🇿

Chapisha Maoni

0 Maoni