Kupigana Hadharani Kosa la Jinai🥊🚫
Kwa mujibu wa Kifungu cha 87 cha Kanuni ya Adhabu, mtu yeyote anayeshiriki ugomvi au mapigano katika eneo la wazi au la umma anatenda kosa la jinai.
⚖️ Adhabu:
🔹 Kifungo kwa muda wa miezi sita,
au
🔹 Faini isiyozidi shilingi laki moja (100,000/=).
📍Sheria hii inalenga kulinda amani na usalama wa jamii dhidi ya fujo na ghasia hadharani.
#KupiganaNiKosa #SheriaZaAdhabu #AmaniMitaani #JunguLaSheria 🇹🇿

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿