Ticker

6/recent/ticker-posts

KIFO CHA MWANAHISA.

 


KIFO CHA MWANAHISA.


MWANAHISA anapofariki katika kampuni, HISA zake hubaki na zinaweza kurithiwa na warithi wake kupitia utaratibu wa usimamizi wa mirathi. Ikumbukwe kuwa, HISA ni mali kama zilivyo mali zingine na zinaweza kuuzwa, kugawanywa au kununuliwa na MTU mwingine.


#sherianatehama 

#sheriayamakampuni

Chapisha Maoni

0 Maoni