Ticker

6/recent/ticker-posts

kula njama na mtu mwingine kumtuhumu mtu kwa kosa ambalo si la kweli ni kosa la jinai.



Kwa mujibu wa kifungu cha 110(a) cha kanuni ya adhabu, kula njama na mtu mwingine kumtuhumu mtu kwa kosa ambalo si la kweli ni kosa la jinai.

Adhabu ya kosa hili ni kifungo cha hadi miaka mitano jela.

Chapisha Maoni

0 Maoni