Ticker

6/recent/ticker-posts

Mwanaume aliye katika ndoa ya mke mmoja haruhusiwi kufunga ndoa nyingine



Kwa mujibu wa kifungu cha 15 cha Sheria ya Ndoa.

Mwanaume aliye katika ndoa ya mke mmoja haruhusiwi kufunga ndoa nyingine. Pia, mwanaume aliye katika ndoa ya wake wengi haruhusiwi kufunga ndoa ya mke mmoja. Mwanamke aliye kwenye ndoa yoyote haruhusiwi kuolewa tena wakati ndoa yake bado ipo. Hata hivyo, wanandoa wanaweza kurudia sherehe ya ndoa, lakini haitabadilisha hali halali ya ndoa yao ya awali.

#JunguLaSheria

Chapisha Maoni

0 Maoni