🔞 Umri wa Kufunga Ndoa kwa Mujibu wa Sheria ya Ndoa Tanzania.
Kwa mujibu wa kifungu cha 13 cha Sheria ya Ndoa, na amri katika shauri la [Rebeca Z. Gyumi v. A.G Misc. Civ Case No. 5 of 2016], umri wa chini kabisa wa kufunga ndoa kisheria ni miaka 18 kwa mwanaume na mwanamke.
Ndoa inakosa uhalali ikifungwa chini ya umri wa miaka 18.
#SheriaYaNdoa #UmriWaNdoa #Tanzania #JunguLaSheria

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿