Ticker

6/recent/ticker-posts

Muda wa Uhai wa Ndoa Kisheria.



⏳ Muda wa Uhai wa Ndoa Kisheria.

Kwa mujibu wa Kifungu cha 12 cha Sheria ya Ndoa, ndoa yoyote — iwe imefungwa Tanzania Bara au nje ya nchi — huendelea kuwepo kisheria hadi pale itakapovunjwa kwa moja ya njia zifuatazo:

⚰️ (a) Kwa kifo cha mmoja wa wanandoa;

📜 (b) Kwa amri ya mahakama inayotangaza kuwa mmoja wa wanandoa anahesabiwa kuwa amekufa;

❌ (c) Kwa amri ya kutengua ndoa;

💔 (d) Kwa amri ya talaka ya kisheria;

🌍 (e) Kwa talaka isiyopitia mahakamani iliyotolewa nje ya Tanzania lakini inakubalika na kutambuliwa kisheria hapa nchini.

#SheriaYaNdoa #JunguLaSheria

Chapisha Maoni

0 Maoni