Ticker

6/recent/ticker-posts

💍 Mume au mke ana haki ya kufungua shauri la madai ya fidia 🏛️ dhidi ya mtu yeyote aliyefanya uzinzi na mwenzi wake wa ndoa

 📜 Kwa mujibu wa Kifungu cha 72 cha Sheria ya Ndoa



💍 Mume au mke ana haki ya kufungua shauri la madai ya fidia 🏛️ dhidi ya mtu yeyote aliyefanya uzinzi na mwenzi wake wa ndoa.


⚖️ Hata hivyo:

🔹 Shauri haliwezi kukubalika iwapo mlalamikaji aliridhia tendo hilo.

🔹 Shauri haliwezi kufunguliwa iwapo fidia tayari imedaiwa kupitia shauri la talaka 💔.

🔹 Shauri litafutwa ikiwa mtuhumiwa atathibitisha kuwa hakujua kuwa mtu aliyefanya nae uzinzi alikuwa ameoa/kuolewa 🙅🏽.


✍🏽 #SheriaYaNdoa #JungulaSheriaTanzania

Chapisha Maoni

0 Maoni