📜 Kwa mujibu wa Kifungu cha 302 cha Kanuni ya Adhabu
🛍️ Kujipatia mali, fedha au kitu kutoka kwa mtu mwingine kwa kutumia njia za udanganyifu ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha miaka 7 jela.
⚖️ Kutokana na mazingira, kosa hili linaweza kupelekwa mahakamani kama madai na si jinai.
✍🏽 #SheriaZaTanzania #Uhalifu #Udanganyifu #JungulaSheriaTanzania

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿