💔 Kwa mujibu wa kifungu cha 73 cha sheria ya ndoa:
📌 Mke au mume anaweza kumshtaki mtu yeyote ambaye anamshawishi mwenza wake kuacha ndoa. Mdaiwa anaweza kuamriwa kulipa fidia endapo akikutwa na hatia.
✍🏽 #Fidia #Ndoa #JungulaSheriaTanzania
💔 Kwa mujibu wa kifungu cha 73 cha sheria ya ndoa:
📌 Mke au mume anaweza kumshtaki mtu yeyote ambaye anamshawishi mwenza wake kuacha ndoa. Mdaiwa anaweza kuamriwa kulipa fidia endapo akikutwa na hatia.
✍🏽 #Fidia #Ndoa #JungulaSheriaTanzania
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿