💔 Kwa mujibu wa kifungu cha 100 cha sheria ya ndoa:
📌 Sheria inazuia kufungua shauri la kuomba talaka ndani ya kipindi cha miaka miwili ya mwanzo ya ndoa, isipokuwa pale tu ambapo mwanandoa anakumbana na ugumu, hatari au ukatili mahakama kwa kibali maalumu itaruhusu shauri hilo kufunguliwa.
✍🏽 #Fidia #Ndoa #JungulaSheriaTanzania

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿