💔 Kifungu cha 125 – Sheria ya Ndoa
📌 Baada ya talaka, mahakama huamua nani atakayemlea mtoto kwa kuzingatia maslahi ya mtoto kwanza.
👶 Mtoto chini ya miaka 7 kwa kawaida hukaa na Mama, ila kama ni kinyume na maslahi yake, mahakama inaweza kumpa Baba au ndugu wa karibu.
⚖️ Kila uamuzi unazingatia ustawi wa mtoto zaidi ya matakwa ya wazazi.
#Ndoa #Talaka #JunguLaSheriaTanzania

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿