👨👩👧👦 Kifungu cha 129 – Sheria ya Ndoa
📌 Wajibu wa kutunza watoto uko kwa Baba – kutoa malazi, chakula, mavazi na elimu kulingana na uwezo wake.
👩 Ikiwa Baba amefariki, hajulikani alipo au ameshindwa kutunza, Mama naye ana wajibu wa kutunza au kuchangia.
⚖️ Maslahi ya mtoto huwekwa mbele zaidi ya yote.
#Watoto #Malezi #JunguLaSheriaTanzania

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿