⚖️ Kifungu cha 146 – Sheria ya Ndoa
📌 Mtu yeyote anayeitwa kufika mbele ya Bodi ya Usuluhishi na akakataa au kushindwa kufika bila sababu ya msingi 👉 anafanya kosa la jinai.
💸 Adhabu: Faini isiyozidi shilingi 500 baada ya kutiwa hatiani.
#Sheria #Ndoa #Usuluhishi #JunguLaSheriaTanzania

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿