Ticker

6/recent/ticker-posts

🚫👰🤵 Kifungu cha 148(1) – Umri wa Ndoa

 


🚫👰🤵 Kifungu cha 148(1) – Umri wa Ndoa

📌 Kwa mujibu wa kifungu cha 148(1) cha sheria ya ndoa, kufanya sherehe ya ndoa ukijua kuwa mwenza wako yupo chini ya umri wa miaka 18, utakuwa umetenda kosa la jinai.

⛓️ Adhabu: Kifungo cha miaka 3 baada ya kutiwa hatiani.

#Sheria #Ndoa #Watoto #JunguLaSheriaTanzania

Chapisha Maoni

0 Maoni