🚫 Kifungu cha 148(2) – Umri wa Ndoa
📌 Kushiriki sherehe ya ndoa ukijua au kuhisi kuwa mmoja au wanandoa wote wapo chini ya umri wa miaka 18, ni kosa la jinai.
⛓️ Adhabu: Kifungo kisichozidi miaka 2 baada ya kutiwa hatiani.
#Sheria #Ndoa #Watoto #JunguLaSheriaTanzania

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿