Ticker

6/recent/ticker-posts

Kujaribu kuolewa wakati upo kwenye ndoa jela miaka 3.



🚫 Kifungu cha 152 – Sheria ya Ndoa.

📌 Mwanamke aliye kwenye ndoa akijaribu kuolewa tena, au mwanaume akijua anamuoa mwanamke aliye kwenye ndoa — wote wanatenda kosa la jinai.

⛓️ Adhabu: Kifungo cha hadi miaka 3 baada ya kutiwa hatiani.

#Sheria #Ndoa #Talaka #JunguLaSheriaTanzania #ElimuYaSheria

Chapisha Maoni

0 Maoni