Ticker

6/recent/ticker-posts

Rais anaweza kuchukua ardhi yoyote ile inayohitajika kwa matumizi ya umma



💼 Kifungu cha 3 & 4 – Sheria ya Utwaaji Ardhi.

📌 Rais anaweza kuchukua ardhi yoyote ile inayohitajika kwa matumizi ya umma au miradi ya taifa kama miji mipya, viwanda, kilimo, huduma za jamii, viwanja vya ndege, bandari au uchimbaji madini.

📌 Kabla ya ardhi binafsi kutwaliwa, ni lazima waathirika walipwe fidia stahiki ndani ya kipindi cha miezi sita.

⚠️ Miradi yote hii ni kwa faida ya wote na inalenga maendeleo ya taifa.

#Tanzania #SheriaYaArdhi #Maendeleo #PublicPurpose #LandAcquisition

Chapisha Maoni

0 Maoni