Ticker

6/recent/ticker-posts

Kukutwa na kiasi kikubwa cha pesa nyumbani - je, ni kosa la jinai.



KUKUTWA NA KIASI KIKUBWA CHA PESA NYUMBANI — JE, NI KOSA LA JINAI?

❗ Jibu: Si kosa moja kwa moja.

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, kumiliki au kukutwa na kiasi kikubwa cha pesa nyumbani sio kosa la jinai.

⚖️ Hata hivyo:

🔹 Mamlaka zinaweza kuhoji chanzo cha pesa

🔹 Ukishindwa kueleza chanzo halali, pesa zinaweza kutaifishwa

🔹 Inaweza kuhusishwa na makosa ya rushwa, uhujumu uchumi au utakatishaji fedha

✅ Kama pesa zinatokana na chanzo halali na zinaweza kuthibitishwa,

➡️ hakuna kosa la kisheria.

📝 Umiliki wa pesa sio kosa, ila chanzo chake ndicho kinachohalalisha au kuharamisha pesa husika.

Chapisha Maoni

0 Maoni