⚖️ JE, MTU ANAWEZA KUZIKWA KWENYE KIWANJA CHAKE BINAFSI? 🤔
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, hakuna sheria inayokataza mtu kuzikwa kwenye kiwanja chake binafsi. Aidha, hakuna sheria inayomlazimu mtu azikwe kwenye makaburi ya umma pekee.
Hata hivyo, ni muhimu kufahamu kuwa kabla ya mazishi kufanyika ni lazima kuwa na kibali cha mazishi kutoka kwa mamlaka husika.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿