⚖️ KUJIFANYA MTU MWINGINE MTANDAONI — NI KOSA LA JINAI ⚖️
Kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Kimtandao [Sura ya 443 Toleo la 2023], Kifungu cha 15, ni kosa la jinai kujifanya mtu mwingine kwa kutumia mfumo wa kompyuta.
❌ Kujitambulisha kwa jina, picha au akaunti ya mtu mwingine mtandaoni bila ruhusa ya mhusika ni kosa la jinai.
📌 Adhabu yake ni kali:
Faini isiyopungua Shilingi Milioni 5, au
Mara tatu ya thamani ya faida uliyopata.
Au kifungo kisichopungua miaka 7, au vyote kwa pamoja.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿