Ticker

6/recent/ticker-posts

⚖️ SHAMBULIO LA KAWAIDA — NI KOSA LA JINAI ⚖️



⚖️ SHAMBULIO LA KAWAIDA — NI KOSA LA JINAI ⚖️

Kwa mujibu wa Kanuni ya Adhabu [Sura ya 16 Toleo la 2023], Kifungu cha 240, mtu yeyote anayemshambulia mwingine kinyume cha sheria anatenda kosa la jinai.

📌 Endapo shambulio hilo halijafanyika katika mazingira yanayostahili adhabu kubwa zaidi, mhusika anaweza:

➡️ Kufungwa jela hadi mwaka mmoja.

📝 Ugomvi au hasira si kinga dhidi ya sheria.

Chapisha Maoni

0 Maoni