🛡️ Kila mtu ana haki ya kuishi.
📜 Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 (kama ilivyorekebishwa) – Ibara ya 14:
Kila mtu ana haki ya kuishi na kupata kutoka kwa jamii ulinzi wa maisha yake kwa mujibu wa sheria.
⚠️ Haki ya uhai ni haki ya msingi inayolindwa kikatiba.
#JunguLaSheria ⚖️
#ElimuYaSheria 📚
#HakiZaBinadamu

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿