🕊️ Kila mtu ana haki ya kuamini dini anayotaka.
📜 Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 – Ibara ya 19:
• Kila mtu ana uhuru wa kuwa na imani au dini anayochagua
• Ana haki ya kubadili dini au imani yake
• Ibada na kueneza dini ni haki ya mtu binafsi kwa mujibu wa sheria
⚠️ Uhuru wa dini unapaswa kutumika kwa amani, heshima na bila kuvunja sheria.
📚 Heshimu imani za wengine, ni haki yao ya msingi ya kikatiba.
#JunguLaSheria ⚖️
#ElimuYaSheria 📚
#UhuruWaDini

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿