🗣️ Kila mtu ana haki ya uhuru wa maoni.
📜 Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 – Ibara ya 18:
• Kila mtu ana uhuru wa kuwa na maoni yake
• Ana haki ya kutoa na kupokea taarifa na mawazo
• Ana haki ya kupata taarifa muhimu kuhusu jamii na nchi
📚 Toa maoni yako kwa heshima.
#JunguLaSheria ⚖️
#ElimuYaSheria 📚
#UhuruWaMaoni

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿