Je unazijua jinai kubwa kabisa katika makosa ya jinai Tanzania?
1. Uasi
2. Mauaji
3. Ugaidi
4. Utakatishaji fedha
5. Biashara ya kuuza watu
6. Ubakaji
7. Biashara ya dawa za kulevya.
Na makosa mengineyo mengi.
Jungu Attorneys at Jungu La Sheria Tanzania.
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿