Ticker

6/recent/ticker-posts

Kazi za jeshi la polisi Tanzania.


Je unajua kazi za Jeshi la Polisi Tanzania?

1 Kudumisha amani
2 Kulinda mali na raia
3 Kukamata na kuweka kizuizini wahalifu
4 Kuzuia na kuepusha uhalifu n.k

Jeshi linaongozwa kwa mujibu wa sheria na kanuni mbalimbali, hivyo katika kutekeleza majukumu yao wanaruhusiwa kubeba silaha za moto

Jungu Attorneys at Jungu La Sheria Tanzania.

Chapisha Maoni

0 Maoni