216. Mtu yeyote ambaye–
(a) anasababisha mtu mwingine ajiuwe; au
(b) anamshauri mtu mwingine ajiuwe na akamshawishi kufanya
hivyo; au
(c) anamsaidia mtu mwingine ajiuwe,
atakuwa anatenda kosa na atahukumiwa kifungo cha maisha .
Jungu Attorneys at Jungu La Sheria Tanzania.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿