Ticker

6/recent/ticker-posts

Kutembea na silaha hadharani ni kosa kisheria. Na Johnson Yesaya


Kutembea na silaha hadharani bila ya kuwa na uhalali au ruhusa ya kufanya hivyo ni kosa kisheria..

Sheria inayoitwa kanuni ya adhabu sura namba 16 au penal code kwa lugha ya kiingereza, kifungu namba 84 kinasema:

Mtu yeyote anayetembea na silaha katika hadhara bila yajambo la halali kwa namna ambayo inaweza kuleta utisho kwa mtu yeyote mtu huyo amekosa kosa dogo na silaha yake yaweza kuhodhiwa..

Jungu Attorneys at Jungu La Sheria Tanzania.

Chapisha Maoni

0 Maoni