Ticker

6/recent/ticker-posts

Mkataba wa kimataifa.


Je umewahi kusikia neno mkataba wa kimataifa?

Mikataba ya kimataifa ni makubaliano ambayo huingiwa na serikali za nchi mbili au zaidi kuhusu jambo fulani, mara nyingine mikataba ya kimataifa inaweza kuingiwa na watu binafsi lakini ni lazima wawe wanatoka katika mataifa tofauti.

Kwa majina ya kiingereza mikataba inaweza kuitwa conventions, agreements, au international contracts.

Jungu Attorneys at Jungu La Sheria Tanzania.

Chapisha Maoni

0 Maoni