Ticker

6/recent/ticker-posts

Namna mbalimbali za adhabu katika sheria. Na Johnson Yesaya


Namna mbalimbali za adhabu katika Kifungu namba 25 cha kanuni ya adhabu sura ya 16

25. Adhabu zifuatazo zaweza kutolewa na mahakama:–
(1) Kifo.
(2) Kifungo.
(3) Kutandikwa.
(4) Kutoza faini.
(5) Kuhodhi.
(6) Malipo ya fidia.
(7) Kutaka dhamana kwa kutunza amani na kuwa na tabia njema,
au kwa kuhudhuria kupewa hukumu.
(8) Adhabu nyingineyo yoyote inayotolewa na Kanuni hii au sheria nyingineyo yoyote au amri.

Jungu Attorneys at Jungu La Sheria Tanzania.

Chapisha Maoni

0 Maoni