Iko hivi, ndoa ni mkataba kati ya mke na mume, na mkataba huo una masharti mengi ikiwemo haki ya tendo la ndoa, sasa inapotokea mwanandoa ananyimwa haki hii moja kwa moja mkataba unakuwa umevunjwa kwani masharti ya mkataba hayajatimizwa.
Haki hii ni lazima iwe imevujwa kwa makusudi bila kuhusisha sababu kama maradhi na kasoro za kimaumbile, ikivunjwa kwa makusudi inaweza kupelekea kuvunjika kwa ndoa.
SHERIA YA NDOA 1971
Jungu Attorneys at Jungu La Sheria Tanzania.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿