Ticker

6/recent/ticker-posts

KUINGIA KATIKA MAHAKAMA YEYOTE TANZANIA KWA LENGO LA KUSIKILIZA KESI SIO KOSA LA JINAI. Na Johnson Yesaya. LL.B.



KIFUNGU NO. 186(1), SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI.


Mahali ambapo mahakama yoyote imekaa kwa ajili ya kuchunguza au kusikiliza kosa lolote itachukuliwa kuwa ni mahakama ya wazi ambayo watu wote watakuwa na fursa ya 

kuhudhuria kwa kiasi ambacho pataweza kuwachukua, isipokuwa kwamba hakimu au jaji aliyekaa anaweza, kama ataona ni muhimu kutokana na mazingira au aina ya kosa, kuzuia umma kusikiliza sehemu au kesi nzima


#ijuesheria

#jungulasheria

#sheriamkononi

#jinai.

Chapisha Maoni

0 Maoni